CCM KUHUISHA MCHAKATO WA KATIBA MPYA

 


Mgombea mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amesema katika kipindi cha Miaka mitano ijayo, chama hicho kitahuisha Mchakato wa Katiba mpya.


Dkt Nchimbi ametoa kauli hiyo leo Septemba Mosi 2025 wakati akiwa kata ya Dutwa mkoani Simiyu, ikiwa Muendelezo wa Kampeni Kuelekea Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.


Sambamba na mpango huo, pia CCM imedhamiria ndani ya miaka mitano ijayo itaendelea kusimamia na kudumisha Suala la Amani kwa Watanzania.



Comments

Popular posts from this blog

HAPI AWATAKA WAGOMBEA WALIOKOSA UTEUZI KUVUNJA MAKUNDI NA KUUNGANA KUTAFUTA KURA ZA KISHINDO ZA CHAMA HICHO.

Msajili Hazina aipa tano TPA

YUSUPH RAI AWASII WANANCHI TEMEKE KUCHAGUA MTU SIO CHAMA KWA MAENDELEO YA JIMBO HILO.